Monday, April 29, 2013


NYUMBA NYINGI KUPOROMOKA NCHINI

Baadhi ya majengo ya ghorofa yaliyopo jijini Dar es Salaam 
Na Aidan Mhando, Mwananchi 
Posted  Aprili27  2013  saa 23:40 PM


Pia, hatua hiyo inatokana na kutokuwapo kwa ukaguzi wa vifaa mbalimbali vya ujenzi yakiwamo matofali ya saruji yanayotumika katika ujenzi wa nyumba hizo.
Uchunguzi uliyofanywa na Mwananchi hivi karibuni jijini Dar es Salaam na baadhi ya maeneo nchini, umebaini kuwepo kwa ongezeko kubwa la biashara holela ya matofali yanayotengezwa kwa ubora hafifu.

Uchunguzi pia unaonyesha kutokuwapo kwa usimamizi wa kutosha katika sekta ya ujenzi nchini ni moja ya vyanzo vya watu kufanya biashara ya vifaa vya ujenzi kiholela.
Biashara hizo ni pamoja na uuzaji wa matofali yasiyokuwa na viwango kutokana na kukosa udhibiti maalumu.

Moja ya mambo yanayosababisha matofali yanayotumika katika ujenzi jijini Dar es Salaam kuonekana kuwa hayana ubora ni utengenezaji wa matofali hayo.
Imegundulika kuwa saruji inayotumika katika utengenezaji huo ni ndogo na mchanga unakuwa mwingi kwa lengo la kutengeneza matofali mengi ili kupata faida.

Wakati uchunguzi huo ukionyesha hivyo Mwananchi, ilimtafuta Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wakandarasi (CRB), Mhandisi Boniface Muhegi, ambaye alishauri kufanyika kwa uchunguzi wa bidhaa zinazotumika katika ujenzi.
Muhegi anasema “Ili kuepusha madhara hasa kuanguka kwa majengo ni vyema Shirika la Viwango Tanzania (TBS), likachukua hatua ya kufanya ukaguzi wa vifaa vinavyotumika kwenye ujenzi ili kuongeza usalama katika masuala ya ujenzi.

Anasema ili kuhakikisha kuwa majengo yanakuwa salama, ni vyema watu wakatumia wakandarasi waliosajiliwa ili kuwabana wakati kunapotokea madhara.
“Sisi tunashauri kwamba kama mtu anataka kujenga nyumba amayo ni salama, ni vyema akatumia wakandarasi waliosajiliwa ili iwe rahisi kuwabana wakati tatizo lolote linapojitokeza,”anasema.

Mhandisi Muhegi anasema “Ni vyema wananchi nao wakatambua kwamba matumizi ya vifaa visivyokuwa na viwango sio salama kwa maisha yao”.
Anasema kila mmoja aone haja ya kutumia vifaa vyenye ubora ili kujihakikishia usalama wa makazi yake na kuepusha kutokea kwa majanga mbalimbali.
Kama tutakuwa makini katika matumizi ya vifaa bora vya ujenzi tutakuwa na makazi salama na tutaepusha majanga mbalimbali.

NUKUU:
Machi 29 mwaka huu jengo la ghorofa 16 liliporomoka jijini Dar es Salaam na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 30.
Febuari 17 mwaka huu, jengo lingine la ghorofa tatu liliporomoka huko Sinza Mori Dar es Salaam na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wawili waliokolewa na vikosi vya uokoaji.

Mwaka 2006 Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliunda tume ya kufuatilia ujenzi wa maghorofa na kubaini kuwa zaidi ya majengo 100 jijini Dar es Salaam yamejengwa bila kuzingatia vigezo.
Msomaji wetu kama una maswali yoyote kuhusiana na ujenzi na ubora wa majengo unaweza kumuuliza Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wakandarasi (CRB), kwa kutuma kupitia 

baruapepe: mwananchijumamosi@yahoo.com au ujumbe wa simu kupitia namba: 0658 376410

CHANZO: MWANANCHI 28/04/2013



NYUMBA NYINGI KUPOROMOKA NCHINI

Baadhi ya majengo ya ghorofa yaliyopo jijini Dar es Salaam 
Na Aidan Mhando, Mwananchi 
Posted  Aprili27  2013  saa 23:40 PM



Pia, hatua hiyo inatokana na kutokuwapo kwa ukaguzi wa vifaa mbalimbali vya ujenzi yakiwamo matofali ya saruji yanayotumika katika ujenzi wa nyumba hizo.
Uchunguzi uliyofanywa na Mwananchi hivi karibuni jijini Dar es Salaam na baadhi ya maeneo nchini, umebaini kuwepo kwa ongezeko kubwa la biashara holela ya matofali yanayotengezwa kwa ubora hafifu.
Uchunguzi pia unaonyesha kutokuwapo kwa usimamizi wa kutosha katika sekta ya ujenzi nchini ni moja ya vyanzo vya watu kufanya biashara ya vifaa vya ujenzi kiholela.

Biashara hizo ni pamoja na uuzaji wa matofali yasiyokuwa na viwango kutokana na kukosa udhibiti maalumu.
Moja ya mambo yanayosababisha matofali yanayotumika katika ujenzi jijini Dar es Salaam kuonekana kuwa hayana ubora ni utengenezaji wa matofali hayo.
Imegundulika kuwa saruji inayotumika katika utengenezaji huo ni ndogo na mchanga unakuwa mwingi kwa lengo la kutengeneza matofali mengi ili kupata faida.

Wakati uchunguzi huo ukionyesha hivyo Mwananchi, ilimtafuta Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wakandarasi (CRB), Mhandisi Boniface Muhegi, ambaye alishauri kufanyika kwa uchunguzi wa bidhaa zinazotumika katika ujenzi.
Muhegi anasema “Ili kuepusha madhara hasa kuanguka kwa majengo ni vyema Shirika la Viwango Tanzania (TBS), likachukua hatua ya kufanya ukaguzi wa vifaa vinavyotumika kwenye ujenzi ili kuongeza usalama katika masuala ya ujenzi.

Anasema ili kuhakikisha kuwa majengo yanakuwa salama, ni vyema watu wakatumia wakandarasi waliosajiliwa ili kuwabana wakati kunapotokea madhara.
“Sisi tunashauri kwamba kama mtu anataka kujenga nyumba amayo ni salama, ni vyema akatumia wakandarasi waliosajiliwa ili iwe rahisi kuwabana wakati tatizo lolote linapojitokeza,”anasema.

Mhandisi Muhegi anasema “Ni vyema wananchi nao wakatambua kwamba matumizi ya vifaa visivyokuwa na viwango sio salama kwa maisha yao”.
Anasema kila mmoja aone haja ya kutumia vifaa vyenye ubora ili kujihakikishia usalama wa makazi yake na kuepusha kutokea kwa majanga mbalimbali.
Kama tutakuwa makini katika matumizi ya vifaa bora vya ujenzi tutakuwa na makazi salama na tutaepusha majanga mbalimbali.

NUKUU:
Machi 29 mwaka huu jengo la ghorofa 16 liliporomoka jijini Dar es Salaam na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 30.
Febuari 17 mwaka huu, jengo lingine la ghorofa tatu liliporomoka huko Sinza Mori Dar es Salaam na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wawili waliokolewa na vikosi vya uokoaji.
Mwaka 2006 Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliunda tume ya kufuatilia ujenzi wa maghorofa na kubaini kuwa zaidi ya majengo 100 jijini Dar es Salaam yamejengwa bila kuzingatia vigezo.
Msomaji wetu kama una maswali yoyote kuhusiana na ujenzi na ubora wa majengo unaweza kumuuliza Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wakandarasi (CRB), kwa kutuma kupitia
baruapepe: mwananchijumamosi@yahoo.com au ujumbe wa simu kupitia namba: 0658 376410

CHANZO: MWANANCHI 28/04/2013

Sunday, March 17, 2013


WANAUME NENDENI KLINIKI MTAMBUA AFYA ZA WAKE ZENU`
Na Mwandishi wetu
17th March 2013

Wanaume wameshauriwa kushiriki kliniki ili waweze kutambua afya za wake zao wanapokuwa wajawazito badala ya kuwatelekeza.
Ushauri huo ulitolewa jana na Meya wa manispaa ya Dodoma, Emanuel Mwiliko, wakati alipokua akifungua kambi ya kupima afya kwa akina mama na watoto mjini hapa.
Mwiliko alisema kuwa kumekuwapo na tatizo kubwa kwa wanaume wengi nchini kuwa wazito kwenda kliniki hali inayosababisha wasiweze kujua afya za wake zao wanapokuwa na matatizo.
Alisema kuwa ifike wakati wanaume wabadilike kutoka katika mtazamo walio nao hivi sasa na kuanza kushiriki kuwapeleka wake zao kliniki ili waweze kuzitambua afya za wenzi wao.
“Sisi akina baba tumekuwa mstari wa nyuma katika kushiriki kliniki hivyo natoa wito tujitokeze katika kushiriki kliniki sisi na wake zetu hali ambayo itatusaidia kujua afya zao zinaendeleaje,” alisema Mwiliko.
Aidha alitoa wito kwa jamii kuwa karibu na akina mama wajawazito ili kuhahakisha kuwa wanajifungua salama.
“Tuhahakishe kuwa tunafuatilia afya za akinamama wajawazito kabla na baada ya kujifunga ili kuweza kuwasaidia katika kuwalea watoto wao katika afya iliyo njema,” alisema.
Naye meneja wa hospitali ya Agha khan mkoani hapa ambao wameandaa kambi hiyo ya kupima afya bila malipo kwa wananchi, Kibe Abel, alisema kuwa lengo ni kuwasogezea wananchi huduma karibu.
Abel alisema kuwa huduma hizo zinatolewa kupitia mradi wa tuunganishe mikono katika kuboresha afya ya mama na mtoto (JHI) kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Canada (CIDA).
“Huduma tunazo zitoa ni kupima watoto na akimama wajawazito pamoja na kutoa elimu jinsi gani akina mama wanaweza kunyonyesha na namna ya kuwalea watoto wao katika afya nzuri,” alisema Abel.

CHANZO: NIPASHE JUMAPILI

Friday, March 8, 2013

MWL WILLBROAD PROSPER: TALENTS/VIPAJI


MWL WILLBROAD PROSPER: TALENTS/VIPAJI:     I AM HAPPY TO INTRODUCE TO YOU ONE OF THE FIRST JUDGES OF TCT IN 2010 AT DIAMOND JUBILEE HALL. EMILY BAVU IS A TALENTED GIR...

Sunday, March 3, 2013


PINDA UNVEILS TEAM TO PROBE EXAMS FIASCO
By Sylivester Ernest, The Citizen Reporter
 
Dare esSalaam. Prime Minister Mizengo Pinda yesterday unveiled a 15-member team he appointed last week to find out why students who sat for last year’s Form Four national examination failed massively.
The team is made up of members from institutions involved in education matters and the parliamentary Social Services Committee from both Tanzania Mainland and Zanzibar. The commission will be chaired by executive secretary of the Tanzania Commission for Universities (TCU), Prof Sifuni Mchome.
Other members of the team, which starts work immediately, include Special Seats MP Bernadetha Mushashu, who will be vice chairman, Appointed MP James Mbatia and Kibiti MP Abdul Marombwa.
Others are Prof Mwajabu Possi from the University of Dar es Salaam, Ms Honoratha Chitanda from the Tanzania Teachers Union (TTU), Ms Daina Matemu from the Tanzania Heads of Secondary Schools Association (Tahossa) and Mr Mahmoud Mringo, who represents the Tanzania Association of Managers and Owners of Non-governmental School/Colleges (Tamongsco).
On the list of members also are, Mr Rakhesh Rajani from Twaweza - an NGO which facilitates large-scale and citizen-driven change, Mr Peter Maduki, Mr Nurdin Mohamed and Mr Suleiman Hemed Khamis from the Zanzibar House of Representatives. Others are Mr Abdalla Hemed Mohamed, Mr Mabrouk Jabu Makame and Mr Kizito Lawa.
The PM tasked the team to find a lasting solution to the alarming decline in the quality of education and poor examination performance from 2010 to date.
Speaking in a meeting that was also attended by the minister for Education and Vocational Training, Dr Shukuru Kawambwa, the PM said, that the problem of poor results, contrary to most people’s views, was not affecting government owned schools only, but also those owned by private organisations and religious institutions, including seminaries.
“I went through available data and learnt that since 2005, when the Fourth Phase government assumed power, to 2009, most schools did very well…things started going wrong in 2010 through 2012,” he said.
According to Mr Pinda, Terms of Reference (ToR) for the commission that has been given six weeks to complete its work and submit a report; will be to look into the reasons for poor performance in examinations.
Another ToR is to find out why the rate of poor performance has been increasing, how the education system operates at the district level, and whether transfer of education operations from the ministry to local governments contributed to poor results.

The team will also have to see whether the country’s education curricula are up-to-date and whether the measurement system is appropriate.
The team has also been tasked to find out if current teaching environments and teaching methods contribute to poor performance.

The Citizen: Sunday, 03 March 2013 01:13